Nahisi wataweka hivyo maana mitandao karibia yote 1500 unapata Gb1 kasoro Voda mpk uwe na buku mbili hiyo imepelekea watu wengi kubadilisha kambi kwa muda na mimi nikiwa miongoni mwao.
Nahisi wataweka hivyo maana mitandao karibia yote 1500 unapata Gb1 kasoro Voda mpk uwe na buku mbili hiyo imepelekea watu wengi kubadilisha kambi kwa muda na mimi nikiwa miongoni mwao.
Nahisi wataweka hivyo maana mitandao karibia yote 1500 unapata Gb1 kasoro Voda mpk uwe na buku mbili hiyo imepelekea watu wengi kubadilisha kambi kwa muda na mimi nikiwa miongoni mwao.
Mimi nina line tatu Voda , Tigo , na Halotel . Voda nimekimbia mdau baada ya kutoa kifurushi cha WK buku 3 kwa Gb nikawa Tigo sasa nimerudisha majeshi yangu yote Halotel maana hawa ndio gharama zipo nafuu kwa sasa kuliko wote baada ya kufanya tafiti jana .