Vodacom hili tangazo la biashara mnalilipia?

Vodacom hili tangazo la biashara mnalilipia?

Wanazingua kinoma,unakuta kuna mingo ulitega sasa umetulia unaisubiri kwa hamu mara simu inaita unasema labda ime-tick unatoa simu unakutana na huu uchafu,aisee natamanigi niwatukane ila ndo hivyo inayozungumza ni mashine.
IMG_20190414_205408.jpg


Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Voda sio calls tu hata sms, yaani wanatuma sms kila baada ya kakika alafu za hovyo hovyo tu. Wanakeraaa. Hivi hakuna namna ya kuzuia?
 
Mwenyewe nilishafikiria achilia na kulipia,kwanza kuna mafanikio kwenye hiyo njia ya kutangaza? Maana asilimia kubwa ya watu ukishapokea ukasikia hizo porojo unakata fasta,sasa je ujumbe unafika? Yaani inauzigi pengine upo sehemu ambayo huwezi ongea na simu,unatoka hadi nje kupokea tu unakuta hizo tantalila yaani uingie kwenye simu ukamtandike makofi


'You can do anything but not everything'
 
Back
Top Bottom