Vodacom Hawajitambui.

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,568
Kifurushi changu pendwa kimeingia doa.

Nikiwa mtumiaji mkubwa wa internet hiki kilikuwa kifurushi changu pendwa.

Tsh. 2500 kwa 500MB ni unrealistic hata kama una hela kiasi gani.

Sitawahama voda, ntaendelea kutumia kwa kupiga na sms.

Ila kwa upande wa internet ntatumia Smile. Kwa Tsh. 14500 napata 10GB ambayo unaipata kwa Tsh. 50K kwa voda.

Kwaheri internet ya voda.
 
majambazi hao
 
DATA DATANI MKUU....YAANI NI MWENDO WA KUDATISHA WATU TU.
 
hawa samaki ni wapuuzi.

yaani jinsi unavyozidi kuwa mteja mtiifu kwa kuwachangia mia mia zako,ndio nao wanakufanya ng'ombe wa maziwa.

mimi ya kwako tu kwa siku ilikuwa gb 1 na dakika sms kibao nikawa naridhika safi tu,he
ghafla naamka siku moja mwezi uliopita nakuta wameporomosha mpaka 500mb,nikawadharau kabisa.

kabla sijawapa taraka nikawakopa kabisa,huku nasonya.

UPDATE:

hatimaye tigo nao wameamua kuunga mkono huu utapeli.
 
Hivi huu mtandao wa voda jana na leo ni simu yangu tu au kuna wengine wana -struggle kama mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…