WanaJF
Anayejua kilichowapata Vodacom kwenye data service atufahamishe. Leo ni kama siku ya tano hivi internet yao ipo chini mno yaani ni sawa na hakuna hasa eneo la Kigamboni.
WanaJF
Anayejua kilichowapata Vodacom kwenye data service atufahamishe. Leo ni kama siku ya tano hivi internet yao ipo chini mno yaani ni sawa na hakuna hasa eneo la Kigamboni.
Kila sehemu hata Arusha yaani iko down mpaka wanaboa kabisa ni kama week ya pili hii voda mnaboa sana
Hili tatzo naon hata tigo wanalo,,,leo cku ya 3 mtandao uko ovyoooooo,,,,
Umeamia wap xax,??Voda nilishaachana nao kitambo. Kila nilivyokuwa naunga bando, inaisha pasipo kutumika. Huu ni mwezi wa nne sasa.