Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 754
Kuna hii huduma ya VodaCom CHEKA TIME ambayo imeanzishwa hivi karibuni, kujisajili unatakiwa kuwa na salio la angalau TZS 5,000 na unapiga *147*01# kujisajili.
Sasa leo nimejaribu kujisajili na inakupa ujumbe ufuatao
"Umenunua dakika 300 za CHEKA TIME kwa Tsh 5000 kwa muda wa siku 5 kuanzia leo,zitumie upige simu bure Voda kwenda Voda kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 10 jioni"
Kwa kweli huu ni utapeli na udanganyifu wa hali ya juu sana kwani mtu unalipia TZS 5,000 lakini wenyewe wanadai eti ni huduma ya bure kwa vipi? Wadanganyika tutadanganyika na kunyonywa mpaka lini au ndio mambo ya eti ukiwekeza Bongo hata kwa mtaji kiduchu lazima upate faida ya kufa mtu kwa kipindi kifupi???
Huzuma kama hizi pia zinatolewa na makapmuni mengine ya simu ya Zantel, Zain na TIGO wakidai ni za bure kumbe unazilipia, wadau hii imekaaje??
Sasa leo nimejaribu kujisajili na inakupa ujumbe ufuatao
"Umenunua dakika 300 za CHEKA TIME kwa Tsh 5000 kwa muda wa siku 5 kuanzia leo,zitumie upige simu bure Voda kwenda Voda kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 10 jioni"
Kwa kweli huu ni utapeli na udanganyifu wa hali ya juu sana kwani mtu unalipia TZS 5,000 lakini wenyewe wanadai eti ni huduma ya bure kwa vipi? Wadanganyika tutadanganyika na kunyonywa mpaka lini au ndio mambo ya eti ukiwekeza Bongo hata kwa mtaji kiduchu lazima upate faida ya kufa mtu kwa kipindi kifupi???
Huzuma kama hizi pia zinatolewa na makapmuni mengine ya simu ya Zantel, Zain na TIGO wakidai ni za bure kumbe unazilipia, wadau hii imekaaje??