Kudhamini Ligi kwa kuwaibia wateja?
Hii ni mara ya pili nalalamika hapa, hivi hakuna mwakilishi wao?
Kila nikipiga customer care wananijibu watanitoa, mbona bado natumiwa?
Wadau nisaidieni nini natakiwa nifanye,
Maana naona hasira zinaanza ku-control ubongo ambapo si sahihi!!
njoo tusindikizane nitakushika mkono ukitaka kurusha ngumi. Hawa wako ki biashara zaidi. Hizo message nikiziona nazidelete kabla sijasoma.
Hivi hakuna mwakilishi wa Vodacom au TCRA humu barazani?
Au japo mfanyakazi tu wao afikishe malalamiko yanayotolewaga hapa?
Mbona tunaibiana mchana kweupe?
TCRA mko wapi lakini?
Mmehongwa Tshs ngapi kiasi cha kutoelewa?
Tusemeje Voda muelewe?
Au ndio mnarudisha hela mliokodia Chopa ya Igunga?
Nimwekeka alfu ili niongee na mtu juu ya kumtumia M-Pesa, kushtuka 550/ ishakatwa eti kwa ajili ya kuambiwa "sishikiki", ni nini hiki?
Karibia kila siku naandika msg ya kuitoa kwenye hii promo feki, mbona hamnielewi?
Nishapiga mara kibao customer care kuwafamisha kua sitaki hii huduma, mbona hawanitoi?
Potelea mbali, huu sasa ni Usenge uliopitiliza huu!!!
Pole sana Shark kwa kukatwa senti zako.Nakushauri uende duka lolote lililo jirani na ww wataitoa hiyo huduma usiyoitaka na maisha yatasonga kama kawa.
Nashauri pia uwe na ukomavu wa fikra kuliko kukurupuka na kutukana kampuni nzima.zile promo huwa zinarushwa redioni kwenye tv na mwishoni huwa wanasema masharti na vigezo kuzingatiwa.
Hausomi hayo masharti wala kujiuliza mara mbili kabla hujashiriki.Umaskini wako unakusukuma kushiriki promo ili upate hela za bure.
Mwisho;jaribu kuacha fikra za kimaskini za kuweka vocha za buku buku...umakaa dar tangu 1985 hadi leo,una internet kwenye cm lkn bado una fikra za kimaskini.
Ukue
Hivi hakuna mwakilishi wa Vodacom au TCRA humu barazani?
Au japo mfanyakazi tu wao afikishe malalamiko yanayotolewaga hapa?
Mbona tunaibiana mchana kweupe?
TCRA mko wapi lakini?
Mmehongwa Tshs ngapi kiasi cha kutoelewa?
Tusemeje Voda muelewe?
Au ndio mnarudisha hela mliokodia Chopa ya Igunga?
Nimwekeka alfu ili niongee na mtu juu ya kumtumia M-Pesa, kushtuka 550/ ishakatwa eti kwa ajili ya kuambiwa "sishikiki", ni nini hiki?
Karibia kila siku naandika msg ya kuitoa kwenye hii promo feki, mbona hamnielewi?
Nishapiga mara kibao customer care kuwafamisha kua sitaki hii huduma, mbona hawanitoi?
Potelea mbali, huu sasa ni Usenge uliopitiliza huu!!!
mkuu upo wapi wewe??. Kama unapatikana mikoa ambayo wanaofisi zinazotoa huduma wee watimbie tuuu.Mi mwenyewe nishazinguliwa xana na tigo na msg zao za kipuuzi puuzi niliwatimbia mliman city nikawaletea utata nikaingia mpaka kule ndan kabisa wanakojifanya wanakaa wale wataalam talaam kidogo .
Ndio madhara ya kuwa na viongozi wachumia matumbo wanaoingia mikataba bomu kwa nia ya kujishibisha wao kwanza bila ya kujali maslahi ya taifa na wananchi wake...pamoja na kutuibia kwa njia hiyo na nyinginezo bado sijui tax compliance status ya Voda na mitandao mingine ipoje!?Kudhamini Ligi kwa kuwaibia wateja?
Hii ni mara ya pili nalalamika hapa, hivi hakuna mwakilishi wao?
Kila nikipiga customer care wananijibu watanitoa, mbona bado natumiwa?
Wadau nisaidieni nini natakiwa nifanye,
Maana naona hasira zinaanza ku-control ubongo ambapo si sahihi!!