Daah! umeongea kwa uchungu mpaka nimekuonea huruma mkuu!!
Pole mkuu, me natumia halotel kuna kifurushi cha mega unajiunga via halopesa, kipo cha siku 500=500 MB, cha week 1000=GB1+(hiki ndo najiungaga sana)DAAH niliwaamini kwa miaka mitatu ila leo
Wameamua kuitoaa kabisa na dar supa un
Na ndo aliakuwa mkombozi wetu
Mtandao gani ni nafuuu
Wanajf
afu zinaisha fasta kama upepo yanMi naona kuna namna hii mitandao inabanwa maana si Voda tuh hata Tigo wanavifush vya bei mbayaDAAH niliwaamini kwa miaka mitatu ila leo
Wameamua kuitoaa kabisa na dar supa un
Na ndo aliakuwa mkombozi wetu
Mtandao gani ni nafuuu
Wanajf
Voda wanaudhi sana, kifurushi cha chuo ndo wamepunguza kutoka GB 1 kwa 2000/= mpaka kuwa MB 512 ,sawa tuuafu zinaisha fasta kama upepo yan
Kwa kweli Voda na Tigo imekuwa mitandao ya hovyo sana. Tigo walikuwa na kifurushi cha WhatsApp mwezi kwa Tshs. 2,000/- ghafla wamerusha mpk 5,000/-. Wana-behave kana kwamba hawajui hali ya uchumiMi naona kuna namna hii mitandao inabanwa maana si Voda tuh hata Tigo wanavifush vya bei mbaya