Voda siwaelewi

kimpe

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2012
Posts
911
Reaction score
862
Poleni na majukumu ya kila siku wana jamii forums. Hapa sipigi promo wala kuharibu biashara ya mtu Hawa jamaa wanaojiita vodacom nimeshindwa kuwaelewa kiukweli mara ya kwanza walikuja na cheka ya 900 ilikuwa inadumu kwa muda wa siku mbili baadae sijui wakawashwa na nini wakaiondoa ikawa inadumu kwa masaa 24 huku wakiongeza mb na dakika sasa nnachoshangaa sa hizi hiyo cheka haipo kabisa nikitaka kujiunga naambiwa cheka ya 900 haipatikani naambiwa nijiunge na cheka ya mia 600. Tatizo ni kwamba mnatuyumbisha mno nyie jamaa nilihama kwa wenzenu tigo unanunua Extreme halafu wanakupangia matumizi ya dakika za kupiga ndani ya mtandao na nje. huwezi mpa mtu hela halafu ukampangia matumizi nikabwagana nao sasa niko njiani kuelea Airtel mana yatosha yao ya 990 ina nishawishi sana
BYE BYE VYODA NA UBABAISHAJI WENU
 
vodacom ni wababaishaji kwa hili, imekula kwao.....! Tigo wana kitu cha 990 dak 40, Airtel nao wana kitu cha 1.5 Gb. Bye bye voda
 
Mimi nlidhan nateseka mimi 2. Hata mie najitenga nao fasta hawana maana vodacom
 
dah inauma sana halafu bado wanaitangaza na hawajibu nini kimejiri na bado wanaipigia promo maredioni huu ni utapeli mkubwa sana
 
Mi hata sikumbuki nimeutupa wapi ile laini yao! (voda)
 
dah inauma sana halafu bado wanaitangaza na hawajibu nini kimejiri na bado wanaipigia promo maredioni huu ni utapeli mkubwa sana

na ti si si ara ei wanawangalia tu,wapo ofisini wanapulizwa na viyoyozi tu huku wakilipwa mishahara ya bure,halafu wa tz wakiongea utawasikia wakina pinda oooh watz wanalalamika sana,sasa cjui walitaka watu wafanyeje,wauchune na huku wananyonywa kwa kudangangwa eeeeeeeeeeeeeh
 
ndio mana washakwambia kazi ni kwako!!!
 
nikajua uwa inakula kwangu tu kumbe tuko wengi,yani binti omary kila mara ananiambiaga si uhame uko, na mimi nimekomaa nao tu ila safari hii naelekea airtel...tatizo langu sugu ni kuwa kila nikinunua bundle za airtime na mb, nikianza kupiga tu simu wanawahi eti,:mpenzi mteja kifurushi chako kimeisha, waweza kujiunga upya...dah nikicheki nina salio la dakika 49 ila ukipiga wanakula salio tu, nkajua utani nkaendelea kupiga, yaani ki elfu8 changu kwisha na dakika zao ziko vile vile 49. Nkajua labda siku iyo tu dah kila nkiunga wapi, dakika zinabaki, salio linatoweka, sijui wanadhani naokota vocha!!!naelekea airtel,yani nkiweka kifurushi cha siku7 ni siku saba kweli...thanks airtel japo iuku kijijini kwetu karatu netweke yenu iko chini siku zote ila tutaenda ivo ivo....
 
Kiukwel nimehama vd kwa mbwe 2 nikaenda eatel
Najuta , bora vd mara mia nakwambia
Mimerudi vd
Sana sana tafuta zantel
 
Umesema kweli, na Mimi voda byebye, nasajili leo airtel. Kama hamuwezi acheni kuiga.
 
Hawa voda wezi kabisa,siku zote nimekuwa nikijiuliza hivi watu hawaoni huu uhuni wa hawa jamaa.Mbaya zaidi ukipiga ile wanayoita huduma kwa wateja utachoka,they care at all.Bado sijafanya maamuzi ya kuitupa line yao ila siku siyo nyingi nitaitupa chooni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…