kimpe
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 911
- 862
Poleni na majukumu ya kila siku wana jamii forums. Hapa sipigi promo wala kuharibu biashara ya mtu Hawa jamaa wanaojiita vodacom nimeshindwa kuwaelewa kiukweli mara ya kwanza walikuja na cheka ya 900 ilikuwa inadumu kwa muda wa siku mbili baadae sijui wakawashwa na nini wakaiondoa ikawa inadumu kwa masaa 24 huku wakiongeza mb na dakika sasa nnachoshangaa sa hizi hiyo cheka haipo kabisa nikitaka kujiunga naambiwa cheka ya 900 haipatikani naambiwa nijiunge na cheka ya mia 600. Tatizo ni kwamba mnatuyumbisha mno nyie jamaa nilihama kwa wenzenu tigo unanunua Extreme halafu wanakupangia matumizi ya dakika za kupiga ndani ya mtandao na nje. huwezi mpa mtu hela halafu ukampangia matumizi nikabwagana nao sasa niko njiani kuelea Airtel mana yatosha yao ya 990 ina nishawishi sana
BYE BYE VYODA NA UBABAISHAJI WENU
BYE BYE VYODA NA UBABAISHAJI WENU