VODA; Intanet bila kikomo

VODA; Intanet bila kikomo

tillyaer

Member
Joined
Jan 21, 2012
Posts
8
Reaction score
1
Wanajamvi naomba kujuzwa bando ya internent ya voda bila kikomo(10,000 siku 7) unaweza kusurf na kudownload movie upendavyo au wana limitation/ maana nyinge.sababu haya makampuni ya simu mda mwingine hayaeleweki
 
Wanajamvi naomba kujuzwa bando ya internent ya voda bila kikomo(10,000 siku 7) unaweza kusurf na kudownload movie upendavyo au wana limitation/ maana nyinge.sababu haya makampuni ya simu mda mwingine hayaeleweki
Hapana. Bando la 10,000/= kwa siku 7, utapata 2048 MB katika speed ya juu.Ukizimaliza hizo MBs utaendelea ku-access internet lakini katika speed ndogo mpaka siku hizo 7 ziishe.
 
Mimi naitumia hiyo ya 10,000 bila kikomo right now, nadhani imetulia sana, unapata 2GB at full speed so kama una kitu cha haraka unataka kushusha unatumia hiyo, then speed inapungua lakini hakuna limit ya kiasi unachoweza shusha so uko limit by speed kwa kifupi.

Nimefanya test ya SpeedTest.Net kwenye simu, wakati ilikuwa bila limit ilikuwa 1430kbps sasa hivi wakati nishapitiliza limit inasema 305Kbps, ni spidi inayotosha kwa kusurf kitu chochote, youtube unaangalia ila inabidi uiruhusu video ishuke kwanza kwa kuweka pause, jana nimeshusha video ya 1.3 GB (torrent) kwa mwendo wa kobe, sio tatizo inabidi uvute subira tu!! Simu inasema nimeshusha zaidi ya 6GB in total hadi sasa.

Natumia Android, narusha Wifi HotSpot nimeunga laptops na tablets, hakuna tatizo. Kwenye simu yenyewe haunotice kuwa ni slow connection, FB, twitter, Mail na website zote zinafunguka fresh. Napata HSDPA (3G) connection hapa nilipo.

Highly Recommended!:majani7:
 
wahuni hao voda usije ukajaribu hata kidogo wanakudanganya bila kikomo ila ina kikomo hio unlimited wana maana yao wanayoijua wao wenyewe vilaza hawana exposure hata tone
 
wahuni hao voda usije ukajaribu hata kidogo wanakudanganya bila kikomo ila ina kikomo hio unlimited wana maana yao wanayoijua wao wenyewe vilaza hawana exposure hata tone

bado tu unahasira nao tu hawa fokoda...
 
after 2 gb my dwnload speed z 35 - 45 kbps
 
baada ya top speed kuisha kiukweli inaboa ila ikiwa bado inafanya kazi sijaona mtandao wengine unaoipiga bao voda
 
bado tu unahasira nao tu hawa fokoda...

Nina hasira nao sana .. Kadi yao nliikatakata baada ya kunidanganya unlimited kumbe hawana servise kama hio. In short hawajui maana ya unlimited internet ..wanai define watakavyo. Hadi watoe maelezo yao ndio utaelewa but unlimited as unlimited .hawana
 
Nimeshagonga 10 GB na bado nina hadi 24th, kitu unlimited!! Voda hawana mpinzani kwenye mobile data. Leo movie inashuka night!
 
Back
Top Bottom