Viwanjani leo tr.04/04/2015, Live updates

Viwanjani leo tr.04/04/2015, Live updates

mkolaj

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2014
Posts
3,023
Reaction score
1,092
Leo viwanja mbalimbali nchini Tanzania na hata huko Zimbabwe kutakuwa pia na mpambano mkali kati ya F.C PLATINUM VS YANGA

Ligi Kuu Tanzania Bara

Kagera Sugar vs Simba, Uwanja wa Kambarage Shinyanga, muda saa 16:30 jioni.

Ndanda FC vs Mbeya City, Uwanja wa Nangwanda sijaona Mtwara, muda saa 16:00 jioni.

Coastal Union vs Tanzania Prisons, Uwanja wa Mkwakwani Tanga, muda saa 16:00 jioni.

KIMATAIFA

Kombe la Shirikisho


F.C Platinum vs Yanga uwanja wa Mandava muda saa 16:00 EAT, mechi hizi zote na nyingine tutajuzana hapa hapa JF-Sports.

Ndugu wanamichezo mnakaribishwa sana kuleta yote yanayojiri viwanjani kutoka kona zote za nchi na kokote Afrika.

Kwenye usukani mtakuwa nami mkolaj
 
Last edited by a moderator:
Naisubiri game ya Platinum Vs Yanga kwa hamu kubwa.Azam Two wataonyesha kwa mujibu wa ratiba yao ya leo kuanzia saa kumi kamili jioni
 
Naisubiri game ya Platinum Vs Yanga kwa hamu kubwa.Azam Two wataonyesha kwa mujibu wa ratiba yao ya leo kuanzia saa kumi kamili jioni
Yaaaah ni sahihi game itakuwa live kupitia azam two ya azam tv....
 
Natumaini kagera suger hawataniangusha leo pale kambarage shinyanga.
Ft kagera 2-0 simba.....

Rashid Mandawa + Atupe Green ua mnyama leo.
 
Kagera Sugar, tumia vizuri uwanja wako wa nyumbani.
 
Mkolaj mkolaj ulishaniingiza maboya kumbe game ya kipenzi cha watanzania inaoneshwa asee
 
Natumaini kagera suger hawataniangusha leo pale kambarage shinyanga.
Ft kagera 2-0 simba.....

Rashid Mandawa + Atupe Green ua mnyama leo.

angalia usije kukimbia jukwaaa...kabla ata mpira haujaisha.
 
Hebu tenganisheni mechi za ligi na mechi ya yanga,hayo ni mashindano mawili tofauti....tusichanganye pilau na mihogo
 
Kikosi cha Yanga kinachoanza leo dhidi ya F.C Platinum;
1.Ally Mustapha "Barthez"
2.Juma Abdul
3.Oscar Joshua
4.Nadir Haroub "Canavaro"
5.Mbuyu Twite
6.Said Juma Makapu
7.Simon Msuva
8.Salum Telela "Abo master"
9.Amiss Tambwe "Falcao"
10.Mrisho Ngassa
11.Haruna Niyonzima "Fabregas"

SUB------
Deogratius Munishi "Dida"
Rajabu Zahir
Kelvin Yondan
Nizar Halfan
Danny Mrwanda
Husein Javu

Kocha mkuu-
Hans Van dar Pluijm

Kocha msaidizi--
Charles Boniface Mkwasa "Master"

Daktari
Juma Sufiani

Meneja wa timu
Afidhi Saleh

Kila la kheir dar young africa.
 
Back
Top Bottom