Bin Chuma75
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 1,002
- 1,092
Nauliza nijuzwe, hivi serikali ina mpango gani kuhusu viwanja vya ndege vya moshi na arusha?au ndiyi mpango wa kuzima maendeleo ya kqnda ya kaskazini kqma vilivyouliwa viwanda?
nashukuru kujua wa arusha kama umefufuliwa, bado upo uwanja wa moshi. KIA ni wa kimataifa, vipo viwanja vya ndege vya hii mikoa, uwanja wa moshi umezimika jamani.Yaani mi mwenyewe cjamuelewa anachotaka nini kuhusu hivyo viwanja, bora bornagain umemueleza vizuri, au labda aeleze wanataka nini kuhusu hivyo viwanja.