Viwanja vya bei nafuu kibaha mjini

Viwanja vya bei nafuu kibaha mjini

a) Vina ukubwa gani
b)Vimepimwa na vina hati
c) Umbali gani kutoka barabara ya morogoro
d) Ni vya kwako au wewe ni dalali
e) Barabara ya kwenda kwenye viwanja inapitika (hata wakati wa mvua)
f) Sehemu vilipo panaitwaje
g) Bei ni shilingi ngapia
h) Pana maji na umeme

Ukitoa taariga kama hizi zitasaidia kwa wale wanaohitaji. Otherwise Tangazo lako halina nyama. Weka details.
 
Kama huna kazi ya kufanya bora ulale tu, inaonyesha haupo serious na bizness.
 
5KM kutoka moro road,ukubwa kuanzia heka moja,mtaa vilivyopo ni mtaa wa galagaza,havina hati,miundo mbinu ya umeme na maji inawekwa,mimi ni mmiliki..samahani wadau.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom