Viwanja vizuri vipo mbezi luis

Viwanja vizuri vipo mbezi luis

deomsolo

Member
Joined
Mar 31, 2014
Posts
20
Reaction score
2
Habari ndugu zangu wa jf napenda kuwafahamisha kwamba viwanja nilivyo navyo ni vya uhakika umeme upo sehemu zingine mpaka huduma za maji zimefika barabara ni nzuri ukubwa ni mita 20 kwa 25 bei kuna vya ml.3 ; 4 ;5 nakuendelea kulingana na mahitaji yako maeneo ni mbezi luis' msakuzi makabe mpigi magoe kwembe n.k . 0713686329au deomsolo.dm@gmail.com
 
Bila shaka wewe ni dalali haya na yako ni kiasi gani kwa kila kiwanja? Je, vimepimwa na vina hati?
 
Na nyi wengine acheni utani bana,
surveyed plot kwa 3mil???

Hizo zama zilishapita
 
Wenye taaluma ya mipango miji njooni huku ardhi inauzwa na bei zimetajwa hapo, thibitisheni.
 
Viwanja havina hati unapata tu ile ya serikali za mtaa na mhuri wa mjumbe au waweza andikiana mahakani au kwa mwanasheria wako! Mimi ni mwezeshajo na nimewawezesha wengi kupata makazi kupitia NIPASHE matangazo madogomadoho
 
Kuhusu kwembe eneo la mradi linajionyesha na eneo la makazi linajionyesha ondoa hofu maeneo huwa mimi mwenyewa huwa najiridhisha kwanza ili kuondoa migogoro
 
Back
Top Bottom