Plot4Sale Viwanja viwanja vinauzwa Mbande Tambani Mkombozi

Plot4Sale Viwanja viwanja vinauzwa Mbande Tambani Mkombozi

PRODIGY001

Senior Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
103
Reaction score
196
Karibuni Viwanja safi kabisa, vipo Mkombozi Tambani Mbande, Bei nafuu kabisa, umeme upo, maji yapo FUTI 50X40, 40X30, 5Mil, 4Mil, 2.5 Mil.


PXL_20250703_082103521~3.jpg
PXL_20250703_081331987~2.jpg
 
Ukishaona ardhi inauzwa kwa kipimo cha futi achana nayo. Huu usanii na ujinga watu sijui unawanufaisha nini. Ardhi inapimwa kwa mita duniani kote sio futi.

Ukiona muuzaji tu ana mashaka na anachokiuza jua sio halali ama kwenye malipo bei ni kubwa kulingana na uhalisia na mengineyo
 
Mbande ndio karibu na kigamboni ?
 
Karibuni Viwanja safi kabisa, vipo Mkombozi Tambani Mbande, Bei nafuu kabisa, umeme upo, maji yapo FUTI 50X40, 40X30, 5Mil, 4Mil, 2.5 Mil.


View attachment 3393553View attachment 3393554
Hiyo anwani mbona haipo kabisa au ndiyo kuvutia wateja wajae?
Mbande inapatikana Wilaya ya Temeke jijini Dsm wakati Tambani inapatikana Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani.
Madalali mna upotoshaji mwingi sana kwenye matangazo yenu
 
Hiyo anwani mbona haipo kabisa au ndiyo kuvutia wateja wajae?
Mbande inapatikana Wilaya ya Temeke jijini Dsm wakati Tambani inapatikana Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani.
Madalali mna upotoshaji mwingi sana kwenye matangazo yenu
Tembea ujionee, mpaka wa temeke na mkuranga upo mbande pia.
Kuingia sio lazima upitie vikindu au kisemvule
 
Tembea ujionee, mpaka wa temeke na mkuranga upo mbande pia.
Kuingia sio lazima upitie vikindu au kisemvule
Hakuna anayebisha hilo, ila usituambie unauza viwanja Kimara Kibaha wakati kibaha haipo kimara na kimara haijawahi kuwa ndani ya kibaha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom