Viwanja viunauzwa kwa bei nafuu.

Viwanja viunauzwa kwa bei nafuu.

Mlonda

Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
35
Reaction score
2
Viwanja vya kujenga nyumba vinauzwa maeneo ya kongowe-kilungule(dar es salaam).
Bei maelewano.
Kwa mawasiliano tumia 0753820584 au 0713135070.
 
Wewe ni mmiliki wa viwanja au Dalali.
Inakuwaje mpaka umepima na umekata viwanja huna bei ya uhakika.
Viwanja sio mitumba kwamba bei ni kupanga na kupangua.
Halafu ukuwa wa viwanja ni upi

kuna vitu ukiweka wazi yaani weka bei ya awali na ukubwa wa viwanja.
Hii ndio itamshawishi mtu aweze kukupigia sim.La sivyo watu wataona kama tangazo limekaa kisanii.

Hata ni Dalali,jaribu kutafuta details za eneo husika ili usije ukabeba lawama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom