Viwanja vinauzwa

consigliori

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2010
Posts
392
Reaction score
90
Kimara Temboni - About 3 KM toka barabarani, 40 X20Metres, bei Tshs 12,000,000 ( Baraba mpaka kwenye kiwanja, umeme upo)
Mbezi msakuzi 40 X 20Metres, bei Tshs 8,000,000 ( Kinapakana na shule ya sec, barabara inafika mpaka kiwanjani, umeme upo kama metre 300 hivi toka kiwanja kilipo). About 6 KM toka morogoro road.

If interested, ni pm
 
kwa yeyote mwenye kiwanja mitaa ya Mbezi beach, Mikocheni anifahamishe!
 
umenifanya nicheke!mambo ya kuwa na Id 6 unasahau hadi ulichokianzisha mwenyewe!kajiuliza swali badala abadili id ndio ajibu kajikuta kajibu na id ile ile.
 
Ha ha ha kajiuliza swali tarehe 15 June 2011 afu kajijibu tarehe 23 June 2011.
Mmmh doubtful!!!!
 
Mmh, hili chaka. Haiwezekani uulize swali na kujijibu, intelijensia inagoma.
 
Msamehe,alitaka kujibu kwa ID ya consiglior bahati mbaya akatumia ID ileile ya Hamad Mfaume aliyoulizia swali,Usanii ukianzia JF haujafika kweli kwenye hivyo viwanja?
Kaazi kweli kweli, eti vimepimwa!!!!hili chaka la nguvu...
 
umenifanya nicheke!mambo ya kuwa na Id 6 unasahau hadi ulichokianzisha mwenyewe!kajiuliza swali badala abadili id ndio ajibu kajikuta kajibu na id ile ile.
mhaha haa mbavu zangu isee, hakawii ku ji pm!
 
Msamehe,alitaka kujibu kwa ID ya consiglior bahati mbaya akatumia ID ileile ya Hamad Mfaume aliyoulizia swali,Usanii ukianzia JF haujafika kweli kwenye hivyo viwanja?

Sorry was not arround, si unajua tanzania yetu kuna sehemu umeme hakuna kabisa. Anyway, alouliza na kujijibu kaniharibia biashara yangu, ila hana uhusiani na mimi consigliori.

Ukweli ni kuwa viwanja vipo, kujibu maswali ya watu waliouliza;

havijapimwa
hakuna maji - si mnajua maji tatizo la DSM?
 
wewe hamadi mfaume kazi yako nikupanda minazi kule shengejuu usirukie kazizawatu ukatutia aibu bwanaa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…