Karibu wakuu viwanja ni bomba sana hivi upepo wa bahari unakifikia bila shida.
Poa we ni cheki tu vikiwepo bado tutafanya biashara..
Mkuu unauhakika kutoka ferry hadi yaleyale ni 30km only? hapo c unavuka kimbiji??
muongo huyo. Yaleyale Puna ni 50 km.
Huko Mi nakujua Sana hadi Pemba Mnazi
muongo huyo. Yaleyale Puna ni 50 km.
Huko Mi nakujua Sana hadi Pemba Mnazi