Viwanja vinauzwa Tabata Segerea

Simon Kaboja

Senior Member
Nov 13, 2016
165
117
Viwanja vizuri sana vinauzwa eneo la Tabata Segerea, vipo karibu na Ambasador sekondari au Segerea Seminary.

1. kina urefu =38 mita na upana =18 mita.
Bei ni Tshs.25m

2. kina urefu =30 mita& upana=28 mita
Bei ni Tshs.27m

Viwanja vyote vinafikika kwa Barabara za gari na ni jirani na maji ya Dawasco na umeme wa Tanesco..Hii ni fursa adimu kupata makazi ya uhakika


Simu: 0656190449
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom