ferg JF-Expert Member Joined Mar 8, 2015 Posts 1,329 Reaction score 1,819 Aug 10, 2015 #1 Habari za jioni wadau, Kuna viwanja viwili vyenye ukuwa wa 70×35(m). viwanja hivi viko morogoro mjini maeneo ya mkundi cct forest. Kwa anaehitaji ani PM Asante
Habari za jioni wadau, Kuna viwanja viwili vyenye ukuwa wa 70×35(m). viwanja hivi viko morogoro mjini maeneo ya mkundi cct forest. Kwa anaehitaji ani PM Asante
Disposal JF-Expert Member Joined Oct 22, 2013 Posts 285 Reaction score 78 Aug 11, 2015 #2 Kias gan mkuu
tpaul Platinum Member Joined Feb 3, 2008 Posts 27,180 Reaction score 27,780 Aug 11, 2015 #3 Tutajie bei mkuu.
Mtumpole JF-Expert Member Joined Aug 30, 2010 Posts 2,280 Reaction score 1,296 Aug 11, 2015 #4 tpaul said: Tutajie bei mkuu. Click to expand... Walitoa tangazo kwenye vyombo vya habari Attachments 1439289271838.jpg 78.4 KB · Views: 196
ferg JF-Expert Member Joined Mar 8, 2015 Posts 1,329 Reaction score 1,819 Aug 11, 2015 Thread starter #5 Mtumpole said: Walitoa tangazo kwenye vyombo vya habari Click to expand... haya ni maeneo nawili tofauti. mkundi cct forest na mkundi mawasiliano
Mtumpole said: Walitoa tangazo kwenye vyombo vya habari Click to expand... haya ni maeneo nawili tofauti. mkundi cct forest na mkundi mawasiliano
C CHUAKACHARA JF-Expert Member Joined Jun 3, 2011 Posts 12,387 Reaction score 6,481 Aug 11, 2015 #6 ferg said: Habari za jioni wadau, Kuna viwanja viwili vyenye ukuwa wa 70×35(m). viwanja hivi viko morogoro mjini maeneo ya mkundi cct forest. Kwa anaehitaji ani PM Asante Click to expand... Sasa kumbe iko kwenye gazeti unataka kuwalangua wenzako. Mtu mwema ungelisema jamani kuna viwanja, tangazo hili soma wenyewe! Lakini asante maana sio wote wangelipata taarifa
ferg said: Habari za jioni wadau, Kuna viwanja viwili vyenye ukuwa wa 70×35(m). viwanja hivi viko morogoro mjini maeneo ya mkundi cct forest. Kwa anaehitaji ani PM Asante Click to expand... Sasa kumbe iko kwenye gazeti unataka kuwalangua wenzako. Mtu mwema ungelisema jamani kuna viwanja, tangazo hili soma wenyewe! Lakini asante maana sio wote wangelipata taarifa