Viwanja Vinauzwa Kibaha Maili Moja

radhiya

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2015
Posts
630
Reaction score
454
Viwanja Vinauzwa.
Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa.
Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu.

Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm 2021.
Nyaraka: Vina Hati miliki.
Bei: Tzs Milioni 750. Maongezi yanaruhusiwa.

Gharama za kwenda kuona Eneo zitahusika.
Mawasiliano: 0784 829565 au 0767 833345.
@prathlimited
 

Attachments

  • b42d8929-c3df-423c-aa5b-1bb112bf940c_0_watermark.jpeg
    698.5 KB · Views: 32
Mmmmmm mzee kibaha milioni 750? Hivyo viwanja ukinunua unapewa na kiwanja kingine Mikocheni kama zawadi au? 🤔

Hiyo bei umepitiliza mzee kajitafakari vizuri.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…