Viwanja Vinauzwa Kibaha Maili Moja

radhiya

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2015
Posts
630
Reaction score
454
Viwanja Vinauzwa.
Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa.
Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu.

Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm 2021.
Nyaraka: Vina Hati miliki.
Bei: Milioni 750. Maongezi yanaruhusiwa.

Gharama za kwenda kuona Eneo zitahusika.
Mawasiliano: 0784 829565 au 0767 833345.
@prathlimited
 

Attachments

  • IMG-20250403-WA0012.jpg
    160.4 KB · Views: 37
TZS 750,000,000
 
Ivi duniani Kuna mtu ataondoka na hata mia mbovu
 
MTU chake bhana
KAZI ni kipimo cha utu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…