Wanajamii forum's kuna viwanja vitatu vinauzwa kibaha madafu. Ambavyo vinaurefu na upana wa "20 kwa 20" bei ni 1,500,000/= kwa maelezo zaidi nipigie kwa hii namba 255756417990
Umeme upo mkuu piaa na maji pia yapo kwa kifupi huduma muhimu zipo maana kuna kiwanda cha nondo pia kuna shule ya advance