Viwanja vinauzwa gezaulole

Viwanja vinauzwa gezaulole

Kitomai

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2009
Posts
1,115
Reaction score
346
Vipo vitano vimepimwa na vina hati miliki. Kila kimoja kina ukubwa wa mita za mraba 1200. Bei 12mil kwa kimoja.
Huduma ya umeme ipo karibu. Viwanja vipo umbali wa kilomita 12 kutoka feri. Karibu kununua kabla ya daraja halijakamilika. Mawasiliano.0717114409
 
Kitomai hivi vimepimwa katika mradi wa serikali au mtu kapima kibinafsi?
 
Kitomai uko wapi? Nasubiri jibu la swali langu hapo juu.
 
Kitomai,

Ebwana nakupigia simu kuhusu hivyo vya gezaulole, umeme uko umbali gani.
 
usidanganye watu, huduma ya umeme ipo karibu?? ni umbali gani kutoka geza juu mpaka huko kwenye viwanja vya manispaa??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom