Viwanja Vinauzwa Arusha Manispaa!!

Viwanja Vinauzwa Arusha Manispaa!!

olekulet

Member
Joined
May 20, 2018
Posts
28
Reaction score
10
Habari!! Nauza viwanja Arusha Manispaa karibu na kiwanda cha A to Z. Bei 20m×25m ni milioni 10. Vipo 3 vilivyoungana....umeme na maji ipo...barabara ya lami ipo umbali wa 1Km na kutoka Arusha mjini ni 10Km. Karibuni...ishi Arusha na familia sehemu tulivu, mji wa Kitalii. Mawasiliano 0786224248
 
Mil 10 kwa muuonganiko wake kwa pamoja au kila kimoja chenye 20x25 million 10
 
Arusha ni kazi tuu
Labda nadhani...tuna comment kwa mtu ambaye hajawahi fika Arusha. Nimetembea miji mingine kama Dar, Pwani, Znz na Tanga kwa ujumla ni joto sana. Mji wa Arusha kdgo ina nyakati tofauti...joto lake ni 25-30°C Sept-February...17-23°C March-July. Kwa familia...safi sana!!
 
Habari Wana-JF!! Usipitwe, njoo wekeza kwa kununua kiwanja Arusha Manispaa...eneo lipo karibu na kiwanda cha A to Z. Vipo 3 sehemu moja na vimeungana...Bei (20m×25m) ni 10 Milioni kila kimoja. Umbali kutoka lami ni 1Km, maji na umeme zinapatikana. Kutoka Arusha mjini ni 10Km na uwanja wa ndege Arusha-Kisongo ni 6Km. Karibu Arusha, Wekeza kwa ajili ya Familia!! Mawasiliano 0786224248.
 
Bei ghali sana sana hiyo,chukua 3m kwa kiwanja
 
Mimi nina 30x30 kwa 15m Terrat karibu na Shule ya Intel
 
Tunapoelekea viwanja na magari yatauzwa bei poa sana
 
Wakuu kwa hilo eneo hiyo ni Bei nzuri hata kama ina udalali ni kidogo sana. Eneo limeendelea sana.
Nashuru Mkuu kwa kuwapa ukweli wale wasiolifahamu hilo eneo...hata Milioni 7 huwezi kupata. Viwanja na magari ni vitu viwili tofauti...hata ukiangalia ktk mfumo wa ASSETS...viwanja ni FIXED ASSETS.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom