Kweli hii ni plot,
1ft = 0.3048 m
40f = 12.192 m
50 ft = 15.24 m
Total Area of the plot = 185.81 sq m
Hapo nikujenga chumba kimoja na sebure, ndo utapata egesho la gari, bajaji, na pikipiki. Bado sehemu ya shimo la choo, kuanika nguo, jiko n.k. Vinginevyo ujenge ghorofa.
JAMANI TUNAKARIBISHWA kununua plot hizo.