Wilaya ya temeke, sehemu za kigamboni. Kama nimekosea naomba muanzisha thread anisahihishe.
Mbutu ya Igunga-Tabora.mbutu ndo wapi?
hivo vingine vipo waapi?
Lwiza Mbutu si ni mchezaji wa Yanga?.
si mwataka vya karibu na bahari?? liweni mi nipo mpelamumbi kibaha. eneo bado jipya linatafuta wakaazi ekari elfu hamsini tu. umbali km 27 toka highway dar moro unashuka vigwaza perto station unachukua boda boda hadi kijijini aaah mambo muswani duuu....kweli Tanzania tumeshaguwa wazee wa vijicent. mamilioni ni bei ya kutupwa?
Kha!......
mkuu ukweli ni kuwa ni makaazi mapya na wenye visenti hawajavamia maana wao wanaona mashamba ya barabaran tu. ok nitakupa no y mwenyekiti uongee naye na majibu utayoyapat weka hapa jamvini ili tuwe wengi. nitaku pmngala moja nipe contacts za huko ulipo basi nije na mimi nipate shamba kidogo??
si mwataka vya karibu na bahari?? liweni mi nipo mpelamumbi kibaha. eneo bado jipya linatafuta wakaazi ekari elfu hamsini tu. umbali km 27 toka highway dar moro unashuka vigwaza perto station unachukua boda boda hadi kijijini aaah mambo muswani duuu....
mkuu nsuri nimejipa umaarufu kumbe sijaruhusiwa kutuma pm maana bado mchanga sijafikisha post tano. kama vipi kamata no yangu nikusendie ya mwenyekit. mkuu utapenda ukipata wanagawa ekari kumi kumi 0787775240mkuu ukweli ni kuwa ni makaazi mapya na wenye visenti hawajavamia maana wao wanaona mashamba ya barabaran tu. ok nitakupa no y mwenyekiti uongee naye na majibu utayoyapat weka hapa jamvini ili tuwe wengi. nitaku pm