The Hidden
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 246
- 102
Wewe chako kimepungukiwa sifa ipi mkuu?Du! Kwa masharti hayo tafuta shamba tu. Hizo pesa siyo za kiwanja unachotaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nunacho Buswelu karibu na makao makuu ya wilaya, kimepimwa na kina hati. Ukubwa wake wake 757 m2. Kama una 15 m tuongee. Hiyo pesa ni ndogo huwezi pata kiwanja kilichopimwa na kiko kwenye maeneo yenye maji na umeme.
Kwa hiyo pesa tafuta SHAMBA mbali na mji kama kmNdugu wanaJF, nahitaji kiwanja Mwanza kwa gharama isiyozidi million 2 kamili,kiwe tambarare, maeneo yaliyopimwa na karibu na huduma za maji na umeme kwa mwenye nacho ama mwenye taarifa tuwasiliane 0753963917.
Ahsanteni!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo pesa 2,000,000 tafuta SHAMBA km 30 toka mjini ukubwa wa 30*40 meter maana kwa jiji gharama zao ni 6,000-10,000 tsh kwa square meter ( viwanja uanzia 500-1000) residentialNdugu wanaJF, nahitaji kiwanja Mwanza kwa gharama isiyozidi million 2 kamili,kiwe tambarare, maeneo yaliyopimwa na karibu na huduma za maji na umeme kwa mwenye nacho ama mwenye taarifa tuwasiliane 0753963917.
Ahsanteni!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni mawazo yako,ni ndogo kwako na Mimi sio mgeni MwanzaNunacho Buswelu karibu na makao makuu ya wilaya, kimepimwa na kina hati. Ukubwa wake wake 757 m2. Kama una 15 m tuongee. Hiyo pesa ni ndogo huwezi pata kiwanja kilichopimwa na kiko kwenye maeneo yenye maji na umeme.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipata tujulishe nasi tuchangamkie fursa. Ila nashangaa kama ni mwenyeji basi ungeshapata na usingesumbuka kuuliza humu.
Mi nashindwa kuelewa anaweza pata wapi kiwanja cha bei hiyo. Labda kama si mjini. Aende pembezini sana ambapo atapanda daladala kea sh.2000.Ukipata na mimi nistue nina mpango wa kurudi kuhishi kwenye ilo jiji la samaki
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni jirani yangu karibu na national housingNunacho Buswelu karibu na makao makuu ya wilaya, kimepimwa na kina hati. Ukubwa wake wake 757 m2. Kama una 15 m tuongee. Hiyo pesa ni ndogo huwezi pata kiwanja kilichopimwa na kiko kwenye maeneo yenye maji na umeme.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo. Inapoishia National housing.mi ndo naanzia. Nilinunua 2006 ila sijakiendeleza.Ila ninaishi Dar.Wewe ni jirani yangu karibu na national housing
Igoma na busweru vipo kuna mdogo wangu alinistua nikawa sina hela mwanza kuna nafuu kwwnye viwanja tofauti na utapeli ulioko arusha unauziwa kwa chumba kimoja laki 4Mi nashindwa kuelewa anaweza pata wapi kiwanja cha bei hiyo. Labda kama si mjini. Aende pembezini sana ambapo atapanda daladala kea sh.2000.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo dsm now so that's why umeliona hilo, nahitaji kurudi ktk jiji LA samaki!Ukipata tujulishe nasi tuchangamkie fursa. Ila nashangaa kama ni mwenyeji basi ungeshapata na usingesumbuka kuuliza humu.
Sent using Jamii Forums mobile app
vipo viwili vimepakana vinauzwa million saba, kila kimoja 3.5 million, vipo maeneo ya Kigala-Buswelu.Ndugu wanaJF, nahitaji kiwanja Mwanza kwa gharama isiyozidi million 2 kamili,kiwe tambarare, maeneo yaliyopimwa na karibu na huduma za maji na umeme kwa mwenye nacho ama mwenye taarifa tuwasiliane 0753963917.
Ahsanteni!
Sent using Jamii Forums mobile app