Viwanja Mbweni vinauzwa

Viwanja Mbweni vinauzwa

Bizney

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2013
Posts
454
Reaction score
48
Viwanja vinauzwa Mbweni kulingana na mahitaji yako, bei 30m na kuendelea, pia kwa wale wanaohitaji maeneo makubwa kwa ujenzi wa shule ukanda wa njia ya Bagamoyo yopo. kwa mawasiliano 0773 944 944
 
Mkuu maeneo makubwa kuanzia hekari kumi mpaka ishirini kwa ukanda wa bagamoyo karibu na barabara yabapatikana kwa bei gani???
 
Mkuu ipo hekari 10 ina hati maeneo ya Kilomo njia ya Bagamoyo, inahitaji 600m.
 
Mkuu maeneo makubwa kuanzia hekari kumi mpaka ishirini kwa ukanda wa bagamoyo karibu na barabara yabapatikana kwa bei gani???

mkuu nenda mwenyewe jionee eka kule bagamoyo unapata kwa mil.2 bei ya juu hata hayo maeneo ya kiromo,nzinga,kerege fika bmoyo town then make your own investigation
 
mkuu nenda mwenyewe jionee eka kule bagamoyo unapata kwa mil.2 bei ya juu hata hayo maeneo ya kiromo,nzinga,kerege fika bmoyo town then make your own investigation
Asante sana mkuu kwa information hii,

Nakushukuru sana
 
mkuu nenda mwenyewe jionee eka kule bagamoyo unapata kwa mil.2 bei ya juu hata hayo maeneo ya kiromo,nzinga,kerege fika bmoyo town then make your own investigation

Jihadhari sana na mashamba ya Bagamoyo mkuu. Matapeli wameshakuwa wengi mitaa hiyo kwa sasa. Kuna jamaa waliuziwa shamba wakajipanga kwenda kupanda miti walipofika wakaambiwa eneo hilo lina mwenyewe. Kumbe walipigwa changa la macho wameuziwa na matapeli. Kuweni makini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom