S sooro New Member Joined Jun 12, 2014 Posts 2 Reaction score 0 Nov 25, 2014 #1 Habari zenu wakuu Nimesikia majina ya waliobahatika kupata viwanja yametoka na wameandika katika maelekezo kwamba watayatupia humu. jee wakuu kuna alieiona hiyo list? Muwe na siku njema:confused2:
Habari zenu wakuu Nimesikia majina ya waliobahatika kupata viwanja yametoka na wameandika katika maelekezo kwamba watayatupia humu. jee wakuu kuna alieiona hiyo list? Muwe na siku njema:confused2:
A Augustino saqware Member Joined Nov 9, 2014 Posts 11 Reaction score 1 Nov 28, 2014 #2 Tupieni jaman hayo majina
Triple A JF-Expert Member Joined Sep 4, 2011 Posts 766 Reaction score 148 Dec 3, 2014 #3 manyara babati hakuna wanajf wakutujuza kuhusu majina ya waliopata viwanja?
Triple A JF-Expert Member Joined Sep 4, 2011 Posts 766 Reaction score 148 Dec 3, 2014 #4 wanajf mlioko huko mtujuze pls
Triple A JF-Expert Member Joined Sep 4, 2011 Posts 766 Reaction score 148 Dec 3, 2014 #5 babati babati babati,makao makuu ya mkoa wa manyara hakuna wanajf huko?
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 102,675 Reaction score 126,903 Nov 23, 2017 #6 Dah 2014?
Dodo18 JF-Expert Member Joined Feb 26, 2011 Posts 315 Reaction score 93 Nov 24, 2017 #8 Triple A said: wanajf mlioko huko mtujuze pls Click to expand... Walitoa tena kwa awamu nyingine mwaka huu mwezi wa tano na Mimi nimebahatika jina langu kutoka
Triple A said: wanajf mlioko huko mtujuze pls Click to expand... Walitoa tena kwa awamu nyingine mwaka huu mwezi wa tano na Mimi nimebahatika jina langu kutoka