Viwanja bomba mbili Dar

Viwanja bomba mbili Dar

hivyo viwili vimeishauzwa kilichopo kina ukubwa wa mita 24 kwa 20 bei milioni 8,kipo sehemu nzuri,hakijai maji,kinafikika kwa gari maana barabara ya mtaa ipo
 
Eneo bado lipo la ukubwa wa mita 24 kwa 20 mita zuri kabisa
 
viwanja vipo viwili kimoja bomba mbili upana ni mita 20,urefu mita 24 bei millioni 8 kipo bomba mbili wilaya ya ilala karibu unaweza kupitia kivule au moshi bar na kingine kipo majohe ukubwa ni hatua 20 kwa 20 bei millioni 6,kupitia KIU
 
mzigo bado upo safi kabisa eneo ni tambarare maji hayatuami yanafaa
 
vipo viwili vinaukubwa wa hatua 20 kwa 20,eneo zuri halina mambonde wala miinuko,vina hati zake ambaye anahitaji tunaweza wasiliana pm,bei ni milioni 4 kwa kila kimoja
Ngoja mvua zinyeshe ndio tuje tukague maana usije tuuzia makazi ya samaki
 
Ngoja mvua zinyeshe ndio tuje tukague maana usije tuuzia makazi ya samaki

angalia tangazo liliwekwa lini kwa mara ya kwanza na ndo maana hivyo nimeishauza kilichopo sasa ni hicho cha 20 kwa mita 24 na kile cha majoe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom