vipo viwili vinaukubwa wa hatua 20 kwa 20,eneo zuri halina mambonde wala miinuko,vina hati zake ambaye anahitaji tunaweza wasiliana pm,bei ni milioni 4 kwa kila kimoja
Ipo wilaya ya ilala
jamani bomba mbili si ipo songea?
ndiyo wap?
wilaya ya ilala mkoa wa dar es salaam
Unafika ukonga mombasa then moshi bar then mbele huko karibu na mbagala nafhani
Sasa mbona ulikuwa ujasema, maana ilala ni kubwa sana, Na hiyo kivule iko pande ipi hasa?ni karibu na kivule sio mbagala
Ni Gongo la Mboto?
Nataka kiwanja ila nina milion 2 kikukwa kizuri.
Sina hamu na ujenzi miye.........labda kununua
![]()