Hahahahaaaa pale napo jina na uhalisia haviendani kabisa....sikushauri kwenda aisee....asenti jembe... jana nilimalizia jioni kwa mkandamizo wa mnafu wa kuku pale Florida..nyepesi nyepesi nimiambia Matongee na Bugaluu pamefulia... si kama ziku za nyuma.. nimeambiwa kuna pub maarufu kwa jina la Matak* Matak* Bar... nadhani jioni itaanzia hapo jomba...
asenti jembe... jana nilimalizia jioni kwa mkandamizo wa mnafu wa kuku pale Florida..nyepesi nyepesi nimiambia Matongee na Bugaluu pamefulia... si kama ziku za nyuma.. nimeambiwa kuna pub maarufu kwa jina la Matak* Matak* Bar... nadhani jioni itaanzia hapo jomba...
Hahahaha Lily Pub Albeto kwa mbele kidogo kuna korongo si salama sana wanaweza kumfanya kitu mbaya....Bora aende Sakina Bar kabisa coz si mbali na Alberto
Njoo Empire Sports Bar.....waungwana hukutana pale kila w/end......
si kuhizi pamechoka hapo bhana. ndio nyumbani kwa nakaaya hapo.
sehemu zenye nyama choma ya kufa mtu ni
cet garden ( kwa sifaa )
kwa tolu ( karibu na car wash ya sunda kama unaelekea sakina )
kwa mrombo
mara moja moja kunahappen......basi aje brazilian lounge.....complex pale...
We mweneji kweli hapo kwa tolu ni pa ukwe kwa choma
dah,umenikumbusha lile samaki la foilihivi kwa nicky bado pako? Nenda kale samaki waambie mie ntalipa
hata wewe utakuwa mwenyeji ndio maana umepasanukia . lol
mara moja moja kunahappen......basi aje brazilian lounge.....complex pale...
Hapa BIG L PUB pametulia pia...!
Nani ameshafika big y pale sekei karibuni ?
pako njema....hasa pale kwenye kale kachobisi....kule ghorofani....ka vip....pametulia kweli....
Oooh sawa siunajua ziko nyingi sana siku hizi.....Nafikiri tumepishana kidogo naongelea Pub Albero ya haile selassie road, pako poa sana hakuna dimbwi wala mto.