Viwanja: 50*25 @500,000

Viwanja: 50*25 @500,000

jopss

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
297
Reaction score
454
Nauza viwanja @meter 50 urefu upana 25 (square meters 1250) bei Tshs 500,000 ( laki tano)

Viwanja vipo Eneo la Makurunge- Bagamoyo unaingia km 15 kutoka barabara kuu ( Bagamoyo- Msata) na njia ya kuingilia ni nzuri sana.
Nb:Viwanja vinauzwa na serikali ya kijiji na vimeuzwa karibu vyote mimi nilimshikia mtu ambaye baadae akasema hayuko interested so unafanya biashara nakamati ya kijiji narudishiwa bond
Viko 10 tu.

Serious buyer ani cheki kupitia 0629037727
FE8431C5-46ED-4BC2-8B71-3B387782FCA5.jpeg
73015D6A-0E60-43B4-BC0E-FECB162A25EF.png
 
Unaweza kulima nini huko?je kuna watu wanaishi huko?serikali ya mtaa iko karibu?yasije kuwa mapori ya hifadhi
 
Unaweza kulima nini huko?je kuna watu wanaishi huko?serikali ya mtaa iko karibu?yasije kuwa mapori ya hifadhi
 
Hivi viwanja sio kule anakopewa bhakressa eneo la kiwanda cha sukari? Kuweni makini wanunuzi wa hivyo viwanja
 
  • Thanks
Reactions: bbc
Unaweza kulima nini huko?je kuna watu wanaishi huko?serikali ya mtaa iko karibu?yasije kuwa mapori ya hifadhi

Viwanja vinauzwa na serikali ya kijiji na vimeuzwa karibu vyote mimi nilimshikia mtu ambaye baadae akasema hayuko interested so unafanya biashara na kamati ya kijiji narudishiwa bond yangu
 
Hivi viwanja sio kule anakopewa bhakressa eneo la kiwanda cha sukari? Kuweni makini wanunuzi wa hivyo viwanja
Yes bhakresa yupo mbele , ni eneo hili hilo upo sawa sawa
 
Mkuu milikuwa na 300000 nahitaji kiwanja 30 kwa 30 kama itawezekana kupata nijulishe kupitia pm
 
Hivi viwanja sio kule anakopewa bhakressa eneo la kiwanda cha sukari? Kuweni makini wanunuzi wa hivyo viwanja
Nilifika hapo 23km kutoka barabara ya Bagamoyo-Msata, sikuwa interested, uuzaji ni holela na hakuna planning, haieleweki mpaka wa shamba la bakhresa na hilo eneo upo wapi, wao wanasema "ni huko mbele" yaan ni kama mchezo wa deci vile.
 
Back
Top Bottom