Installment unaruhusiwa kwa makubaliano mkuu,chanika kibaon
Mkuu uzur wa biashara n kuona then unafanya tathmin ila kwa msaada pia nina Raman ya chanika iliyoandaliwa na manispaa ya ilala so ntakuonysha maeneo ambayo n kwa ajil ya makaz na yasiyo ya makazUtanihakikishia vp kuwa ni maeneo ya makazi, hakuna njia ya mtaa, na pia sio maeneo ya mchanga,maji kuwa karibu
Mkuu uzur wa biashara n kuona then unafanya tathmin ila kwa msaada pia nina Raman ya chanika iliyoandaliwa na manispaa ya ilala so ntakuonysha maeneo ambayo n kwa ajil ya makaz na yasiyo ya makaz
Eneo kiuhalisia liko poa halina matatzo ya maj na kumejenga lkn maneno yangu hayawez kukutoshelza mpka ufike na upaone MkuuNimekupata ndugu, installment inakuwaje sasa, vp majaruba,maana chanika ina maji sana chini, vp hyo ardhi ipoje
Eneo kiuhalisia liko poa halina matatzo ya maj na kumejenga lkn maneno yangu hayawez kukutoshelza mpka ufike na upaone Mkuu