Viwanda vya sukari vinafaidisha wachache

broken ages

JF-Expert Member
Mar 23, 2012
235
84
Mheshimiwa Rais Magufuli amefanya jambo bora na la msingi sana kupiga marafuku uagizaji wa sukari toka nje ya nchi hili ni jambo bora na la msingi sana kwa ustawi wa taifa letu,

Jambo ambalo tawala zilizomtangulia na hasa utawala aliourithi ulishindwa kufanya pengine ilikuwa ni kwasababu ya kuyalinda maslahi ya wachache ama ni utashi wa kushindwa kuliona jambo hili,

Hili linatupa ujumbe wa ni kwa namna gani Rais Magufuli alivyokuwa hana makundi anayoyalinda kwa manufaa yao binafsi ndani ya nchi hii

Faida ya kuzuia uagizaji sukari toka nje ni nyingi lakini kubwa sana ni kutoa nafasi kwa viwanda vya sukari Tanzania kufanya kazi kwa ufanisi na tena kuongeza tija kwa kupata fursa ya kufanya kazi na hata kuongeza ajira kwa watanzania kwani kwa namna hii viwanda vya sukari vitaongezeka kwasababu vitakuwa vikifanya kazi kwa faida.

Hapa ningemwomba mheshimiwa Rais kupitia idara zinazohusika kutoa pia ushauri Kama siyo kuwaelekeza wazalishaji wa sukari namna bora na nzuri ya kusambaza sukari hadi kumfikia mtumiaji wa mwisho kwa bei nzuri

Nasema hivi kwa sababu kunao ukiritimba mkubwa sana kwa namna ya kuipata sukari kutoka viwandani na hasa TPC Moshi, kwani kiwanda kimewaweka ama kuteua wafanya biashara wachache kuwa ndo wanaowaruhusu kununua sukari kutoka kiwandani, kwa mfano kwa mikoa kama Kilimanjaro na Arusha utapata kuwa ni wafanyabiashara watatu ama wanne wanaoruhusiwa kununua bidhaa hii adimu ya sukari kutoka kiwandani na hii nionavyo mimi madhara yake ni makubwa kwani hawa wafanyabiashara wachache na tena katika hao nusu yao wakiwa si wazawa ni rahisi kufanya makubaliano na wakauza sukari kwa bei wanavyotaka wenyewe.

Kwani kwa hapo uhuru wa soko haupo ni tofauti na kwamba ingekuwa kila mfanyabiasha mwenye uwezo na aruhusiwe kununua jambo ambalo lingetoa nafasi nzuri ya ushindani wa kweli katika soko sioni kama kuna sababu gani ya kuwatunukia watu wachache nafasi hii adimu ya kusambaza sukari,sioni ni kwa nini isitolewe nafasi kwa wafanyabiashara wengi kama siyo wote kuingia kiwandani na kupatiwa bidhaa kwa bei ya kiwandani ili wakashindane kuuza kwenye masoko.

Ikifanyika hivi itamwondoa hata mheshimiwa Rais lawamani kwani hakutakuwepo upandishwaji bei kiholela na hivyo bei kubakia kuwa chini kukaribia kama siyo sawa na ile sukari ya nje ambayo haitakuwepo tena madukani.

Namwomba Rais ama waziri mwenye mamlaka ingilia hili ili kuundoa ukiritimba uliopo Tpc na ambao hauna tija kwa wengi ila unao maslahi makubwa sana kwa wachache.
 
Mimi kwenye hili nipo indifferent. .... kuingiza sukar kutoka nje kuna ua viwanda vyetu vta sukar.... alf tunalalamika dola inapanda while tupo busy ku import had sensitive products like sugar. Hivi viwanda vyetu inabid vilindwe kwa kwel.... they are young infant industries not yet to compete with large firms outside.

But on other had... demand ni kubwa sana tanzania nzima. Tusije rud zile enzi za nyerere... I must walk 100k to get sugar. Hawa watengenezaj wa sukar... wamehakikiwa kujua kwamba wanauwezo kwa kusupply to meet demand?

Ukiritimba je? Umeangaliwa? Inefficiency?.... wata burn importation had lin? These industries must grow... to implement a free trade area protocol. They must grow to face competition. .... u can't burn forever. Wamejipanga sawa.... tuwape muda.
 
Mimi kwenye hili nipo indifferent. .... kuingiza sukar kutoka nje kuna ua viwanda vyetu vta sukar.... alf tunalalamika dola inapanda while tupo busy ku import had sensitive products like sugar. Hivi viwanda vyetu inabid vilindwe kwa kwel.... they are young infant industries not yet to compete with large firms outside.

But on other had... demand ni kubwa sana tanzania nzima. Tusije rud zile enzi za nyerere... I must walk 100k to get sugar. Hawa watengenezaj wa sukar... wamehakikiwa kujua kwamba wanauwezo kwa kusupply to meet demand?

Ukiritimba je? Umeangaliwa? Inefficiency?.... wata burn importation had lin? These industries must grow... to implement a free trade area protocol. They must grow to face competition. .... u can't burn forever. Wamejipanga sawa.... tuwape muda.
 
Mimi kwenye hili nipo indifferent. .... kuingiza sukar kutoka nje kuna ua viwanda vyetu vta sukar.... alf tunalalamika dola inapanda while tupo busy ku import had sensitive products like sugar. Hivi viwanda vyetu inabid vilindwe kwa kwel.... they are young infant industries not yet to compete with large firms outside.

But on other had... demand ni kubwa sana tanzania nzima. Tusije rud zile enzi za nyerere... I must walk 100k to get sugar. Hawa watengenezaj wa sukar... wamehakikiwa kujua kwamba wanauwezo kwa kusupply to meet demand?

Ukiritimba je? Umeangaliwa? Inefficiency?.... wata burn importation had lin? These industries must grow... to implement a free trade area protocol. They must grow to face competition. .... u can't burn forever. Wamejipanga sawa.... tuwape muda.




SWALA HAPA NI VIWANDA KUONDOA URASIMU NA KUFUNGUA MILANGO KWA WANUNUZI ZAIDI YA HAO WACHACHE AMBAO WALIKUWA WAMEPEWA NAFASI
LIKIFANYIKA HILI LITALETA TIJA ZAIDI KWA MWANANCHI MFANYABIASHA NA KWA TAIFA KWA UJUMLA KWANI ITARAHISISHA UPATIKANAJI WA SUKARI NA PIA ITAFANYA BEI IWE YA KIWANGO CHA CHINI KWA SABABU YA USHINDANI.

HEBU TUTIZAME NI KWA NINI SUKARI YA NJE ILIKUWA IKIINGIZWA NCHINI, NA JE ILIKUWA IKIINGIZWA NA KINA NANI?

NI KWAMBA SUKARI ILIKUWA IKIINGIZWA NA BAADHI YA WAFANYABIASHARA WALIOKUWA NA UWEZO WA KUNUNUA NA KUUZA SUKARI YA VIWANDA VYETU VYA NDANI YA NCHI LAKINI KWA SABABU YA URASIMU WA KUPATIWA BIDHAA HII KUTOKA VIWANDANI NDIPO WAKATAFUTA NAMNA MBADALA YA UPATIKANAJI WA MALI KUTOKA NJE NA NDIYO MAANA HATA KUNA WAKATI MWINGINE VIWANDA VILILIONA HILI NA KWA WAKATI FLANI IKABIDI BAADHI YAO WAINGIZWE KWENYE LISTI YA WATEULE WENYE KURUHUSIWA KUNUNUA SUKARI TOKA VIWANDANI,HAWAKUDUMU MUDA MREFU KUFANYA BIASHARA HII NA VIWANDA VYETU VYA NDANI KWA SABABU KIPINDI WALIPOKUWA HAWAJAPEWA NAFASI YA KUNUNUA PALE AWALI TAYARI WALISHATENGENEZA UTARATIBU IKIWA NI PAMOJA NA UKWEOAJI KODI NA NAMNA YA KUIPATA SUKARI YA NJE KWA BEI YA CHINI KIDOGO UKILINGANISHA NA BEI WALIYOKUWA WAKIUZIWA NA VIWANDA VYETU.

NA SASA WAFANYABIASHARA WALEWALE WALIOKUWA WAMETUNUKIWA AMA WAMEPEWA KWA KULINDANA HISANI YA KUNUNUA SUKARI YA VIWANDA VYETU VYA NDANI NA WAKAVITELEKEZA KWA KUANGALIA MASLAHI YAO BINAFSI NA BADALA YAKE WAKAWA WANAAGIZA TOKA NJE LEO HII NDO HAOHAO WAMERUDISHIWA KUWA WAWE MAWAKALA PEKEE JE NI KWA NINI KUSIWEPO UWEZEKANO WA WAO KUPANGA BEI YA KUUZA KWA MLAJI NA HASA UKIZINGATIA KWAMBA WALISHAZOEA FAIDA KUBWA ZAIDI?

NASHAURI TENA VIWANDA ACHENI URASIMU FUNGUENI MILANGO KWA WAFANYABIASHARA WATANZANIA WANUNUE SUKARI KUTOKA KIWANDANI KWA FAIDA YA MLAJI MTANZANIA KWANI HII SI BIDHAA INAYOHITAJI MAWAKALA KWA MAANA MAHITAJI YAKE NI MAKUBWA KULIKO UZALISHAJI ULIOPO
 
SWALA HAPA NI VIWANDA KUONDOA URASIMU NA KUFUNGUA MILANGO KWA WANUNUZI ZAIDI YA HAO WACHACHE AMBAO WALIKUWA WAMEPEWA NAFASI
LIKIFANYIKA HILI LITALETA TIJA ZAIDI KWA MWANANCHI MFANYABIASHA NA KWA TAIFA KWA UJUMLA KWANI ITARAHISISHA UPATIKANAJI WA SUKARI NA PIA ITAFANYA BEI IWE YA KIWANGO CHA CHINI KWA SABABU YA USHINDANI.

HEBU TUTIZAME NI KWA NINI SUKARI YA NJE ILIKUWA IKIINGIZWA NCHINI, NA JE ILIKUWA IKIINGIZWA NA KINA NANI?

NI KWAMBA SUKARI ILIKUWA IKIINGIZWA NA BAADHI YA WAFANYABIASHARA WALIOKUWA NA UWEZO WA KUNUNUA NA KUUZA SUKARI YA VIWANDA VYETU VYA NDANI YA NCHI LAKINI KWA SABABU YA URASIMU WA KUPATIWA BIDHAA HII KUTOKA VIWANDANI NDIPO WAKATAFUTA NAMNA MBADALA YA UPATIKANAJI WA MALI KUTOKA NJE NA NDIYO MAANA HATA KUNA WAKATI MWINGINE VIWANDA VILILIONA HILI NA KWA WAKATI FLANI IKABIDI BAADHI YAO WAINGIZWE KWENYE LISTI YA WATEULE WENYE KURUHUSIWA KUNUNUA SUKARI TOKA VIWANDANI,HAWAKUDUMU MUDA MREFU KUFANYA BIASHARA HII NA VIWANDA VYETU VYA NDANI KWA SABABU KIPINDI WALIPOKUWA HAWAJAPEWA NAFASI YA KUNUNUA PALE AWALI TAYARI WALISHATENGENEZA UTARATIBU IKIWA NI PAMOJA NA UKWEOAJI KODI NA NAMNA YA KUIPATA SUKARI YA NJE KWA BEI YA CHINI KIDOGO UKILINGANISHA NA BEI WALIYOKUWA WAKIUZIWA NA VIWANDA VYETU.

NA SASA WAFANYABIASHARA WALEWALE WALIOKUWA WAMETUNUKIWA AMA WAMEPEWA KWA KULINDANA HISANI YA KUNUNUA SUKARI YA VIWANDA VYETU VYA NDANI NA WAKAVITELEKEZA KWA KUANGALIA MASLAHI YAO BINAFSI NA BADALA YAKE WAKAWA WANAAGIZA TOKA NJE LEO HII NDO HAOHAO WAMERUDISHIWA KUWA WAWE MAWAKALA PEKEE JE NI KWA NINI KUSIWEPO UWEZEKANO WA WAO KUPANGA BEI YA KUUZA KWA MLAJI NA HASA UKIZINGATIA KWAMBA WALISHAZOEA FAIDA KUBWA ZAIDI?

NASHAURI TENA VIWANDA ACHENI URASIMU FUNGUENI MILANGO KWA WAFANYABIASHARA WATANZANIA WANUNUE SUKARI KUTOKA KIWANDANI KWA FAIDA YA MLAJI MTANZANIA KWANI HII SI BIDHAA INAYOHITAJI MAWAKALA KWA MAANA MAHITAJI YAKE NI MAKUBWA KULIKO UZALISHAJI ULIOPO
Serikali ilioburn importation ya sukari ndo inatakiwa ilishighulikie swala hili la urasimu. Watoe amri kwa kila mwenye uwezo wa kununua kiwandan akanunue na urasimu kwenye upatkanaj wa sukar uondoke na sio hilo tuu na efficiency iongezeke maana bila kufanya hivyo wataanza kuproduce kidogo... demand inazid supply na kusababisha bei ya sukari kupanda. Serikal ihakikishe sukar inapatikana kona zote za tanzania na katika bei rafiki kwa mlaji.
 
Hakika sukari itapanda bei na kuwa bidhaa adimu ikitokea viwanda vya ndani vikashindwa kukidhi soko la uhitaji wa sukari
 
Hakika sukari itapanda bei na kuwa bidhaa adimu ikitokea viwanda vya ndani vikashindwa kukidhi soko la uhitaji wa sukari
imepanda kutoka 83000 hadi 90000 kwa mfuko wa kilo 50. na hapo bado sukar ya nje bado ipo kwenye magodown. ikiisha tu tutanunua sukar 2500 kwa kilo, japo sasa ni 2200 kwa kilo. mungu saidi kuondoa maamuzi mkurupuko moyoni kwa magu.
 

Attachments

  • 1456378431582.jpg
    1456378431582.jpg
    9.9 KB · Views: 59
Back
Top Bottom