...ID yako nimeipenda,na nimeielewa
topic: kwanza mavazi yanaweza yasikupe picha halisi ya mtu...kwa kiasi kikubwa tu, ila hao wanaotaka kuanzisha iyo kitu, sidhani kama itafanya kazi...sanasana watakosa wanafunzi tu.
kuhusu hao waungwana hapo juu...duh kidogo inachanganya,mana naona kama biashara ivi..tehe!