Hiyo ni Morocon style....mimi sioni kikubwa cha zaidi, hawashindi wananwake wa kibongo bana. Halafu huo msemo wenu wa mwanamke ni pambo ni udhalilishaji kabisa. Ninavyofahamu mimi mwanamke ni mlezi wa jamii, ikiwa atapotoka mwanamke basi jamii imeangamia.