VITZ PINK NEW SHAPE for sale

VITZ PINK NEW SHAPE for sale

ww iwekee rims kali alaf fungia muffler ipeleke arusha,itanunuliwa cku hyohyo
Arusha hatununuagi vitu kizembe zembe kama unavyofkiria. Huku Muffler, Rims, Spoiler, Cleaner, Timer nk vimejaa ktk Nairobi na vitu vingine tunafunga wenyewe na kuwauzia wa mikoani..Atakosa mnunuzi huku kwa bei hiyo
 
Arusha hatununuagi vitu kizembe zembe kama unavyofkiria. Huku Muffler, Rims, Spoiler, Cleaner, Timer nk vimejaa ktk Nairobi na vitu vingine tunafunga wenyewe na kuwauzia wa mikoani..Atakosa mnunuzi huku kwa bei hiyo

boss hivi kitu kama mufflers,turbo timers,turbo kit and car perfomance accessories kuvileta from nairobi ni cheaper?
 
boss hivi kitu kama mufflers,turbo timers,turbo kit and car performance accessories kuvileta from nairobi ni cheaper?
ni cheaper ukilinganisha na bei ya kununulia huku Tz..
 
Mtu unaona kitu hakikuhusu si ukipotezee mbona wabongo mnaroho za chuki na uhasama...hii biashara nimeiweka mimi ..mbona mnainanga hamtaki namm nipate rizk yani wabongo hamuelndelei kwa hizi style
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom