Car4Sale VITZ Inauzwa Milioni 4.7

Iko vizuri..
Inaweza kwenye mpaka Arusha bila shida?
 
Kwa watu walio makini watakwambia mwanamke siyo mtunzaji mzuri wa gari.

Usipende kutumia utetezi huu.
hahaa mkuu sio kweli unachokisema ..mwanamke akiskia kitu tofauti tu kwenye gari lazima apeleke gereji..

Afu kingine huwa ni waoga sana road so hujitahidi kuendesha kwa makini hivyo magari yao huwa yanakua safe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa watu walio makini watakwambia mwanamke siyo mtunzaji mzuri wa gari.

Usipende kutumia utetezi huu.
Nafikiri inategemea, shemeji yangu alikaa na gari zaidi ya miaka miwili hajawahi zidi spidi 50, kuna siku nilienda na mshkaji wangu kwa shemu akashangaa kukuta gari iko vilevile wakati ishapita miaka toka inunuliwe akamuuliza shem hii gari unaendeshea sebleni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…