Vituo vya polisi Zanzibar vyakabiliwa na uhaba wa Askari

Nibozali

JF-Expert Member
Oct 15, 2016
572
1,055
Jeshi la Polisi Zanzibar limesema kuwa limelazimika kufunga vituo vidogo katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja kutokana kukabiliwa na upungufu wa Askari visiwani hapo. Hayo yamesemwa na Kamishna wa Polisi Zanzibar, Hamdan Omar Makame, amesema kuwa vituo hivyo vimefungwa na sasa vitalazimika kutumiwa na askari Jamii katika kuimarisha ulinzi. “Tuna askari wachache ndiyo maana vituo vidogo tumelazimika kuvifunga na badala yake vitatumiwa na askari Jamii kutoa huduma za ulinzi katika maeneo yao.” amesema Kamishna Hamdan.

Source: Dar24

Maoni yangu!
Hivi kwa nini tunafikia hatua ya kukosa watu mhimu katika jamii kama Askari ilihali watu tens wasomi walioko mtaani wanatamani nafasi hizo ila Serikali hii ya Mazingaombwe imewabania?. Kitendo cha kukabiliwa na uhaba Wa Askari ni hatari kwa usalama Wa nchi, wananchi na Mali zao
 
Jeshi la Polisi Zanzibar limesema kuwa limelazimika kufunga vituo vidogo katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja kutokana kukabiliwa na upungufu wa Askari visiwani hapo. Hayo yamesemwa na Kamishna wa Polisi Zanzibar, Hamdan Omar Makame, amesema kuwa vituo hivyo vimefungwa na sasa vitalazimika kutumiwa na askari Jamii katika kuimarisha ulinzi. “Tuna askari wachache ndiyo maana vituo vidogo tumelazimika kuvifunga na badala yake vitatumiwa na askari Jamii kutoa huduma za ulinzi katika maeneo yao.” amesema Kamishna Hamdan.

Source: Dar24

Maoni yangu!
Hivi kwa nini tunafikia hatua ya kukosa watu mhimu katika jamii kama Askari ilihali watu tens wasomi walioko mtaani wanatamani nafasi hizo ila Serikali hii ya Mazingaombwe imewabania?. Kitendo cha kukabiliwa na uhaba Wa Askari ni hatari kwa usalama Wa nchi, wananchi na Mali zao
kwani hao mzee ni polisi ni makada wa ccm tu na kwasasa zanzibar hakuna tena ccm ndio maana
 
Wangwana Wanzanzibari hawahitaji polisi. Polisi wameu defenceless Zanzibaris. Coldblooded murderers.
 
Askari wengi waliopo kule ni watanganyika. Wazanzibari hawapendi kazi ngumu. Kwahiyo baada ya muda wale watanganyika huwa wanafanya mchakato wana hamia nyumbani (Tanganyika) . Kufanya kazi kule inataka moyo na sahau kuhusu maendeleo yako binafsi!!!
 
Back
Top Bottom