KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,569
- 21,081
Vituo vya mafuta jijini mbeya vimegoma
kuuza mafuta aina ya Petrol sababu ya
kupinga hatua ya EWURA kupunguza bei
ya mafuta kuanzia leo wakidai ni hasara
kwao sababu wenyewe walinunua kwa
bel kubwa iweje leo wauze kwa bei
ndongo wameomba wapewe angalau
siku kadhaa
kumalizia mafuta waliyonayo sasa katika
vituo vyao
Baadhi ya wananchi waliobahatika kupata
mafuta katika kituo cha ORXYambacho
kilikua kinauza lita tano tano kwa kila
mmoja
kuuza mafuta aina ya Petrol sababu ya
kupinga hatua ya EWURA kupunguza bei
ya mafuta kuanzia leo wakidai ni hasara
kwao sababu wenyewe walinunua kwa
bel kubwa iweje leo wauze kwa bei
ndongo wameomba wapewe angalau
siku kadhaa
kumalizia mafuta waliyonayo sasa katika
vituo vyao
Baadhi ya wananchi waliobahatika kupata
mafuta katika kituo cha ORXYambacho
kilikua kinauza lita tano tano kwa kila
mmoja