PREZ KICHAKA AKIWA ANAENJOY THE OLYMPICS GAME... JE MR PREZ ALIKUWA AMESHAPATA KIDOGO? LOOKS DRUNK TO ME!!!!
Please note Laura alivyoamua ku-ignore na ku-save
Katika event nyingine, Barbara alianza kuchukia mapema, babake anawaumbua sana
Hapa binti ndo kabisaaa amekereka
Imebidi sasa Laura aingilie
Hapa sasa familia imesha-resign wamekubali hali... habari ndo hiyo
Lakini unajua inatisha! Yaani NUmber 1 of the most powerful nation ni mbumbu hivyo! No class! Kumbe ndo maana uchumi wa dunia nzima inasuasua! Afadhali angemwachia Laura aendeshe nchi!
Lakini unajua inatisha! Yaani NUmber 1 of the most powerful nation ni mbumbu hivyo! No class! Kumbe ndo maana uchumi wa dunia nzima inasuasua! Afadhali angemwachia Laura aendeshe nchi!
Lakini unajua inatisha! Yaani NUmber 1 of the most powerful nation ni mbumbu hivyo! No class! Kumbe ndo maana uchumi wa dunia nzima inasuasua! Afadhali angemwachia Laura aendeshe nchi!
Mindset yako ya ubongoni kwako ipo "ki bongo bongo"; mwenzio Bush yupo liberal kwa hiyo, ni Westerner! Wewe wale wanawake walivyomwinamia kinyume nyume na alivyo wakumbatia basi hiyo akiri yako ishafikiria negatively! Hivi hujawhai kwenda kule beach zetu ukakumbatiana ka watu kama hivyo? Please wash your thinking!
Mwanamume yeyote rijali angefurahia kuwa katikati ya totoz kama hizo....huyu Susu sijui vipi....
Susuviri,
Olympic is equally important as politics and economy; Chinese invested about USD 40 billion for olympics; iimproved all city of Beijing infrastructure.
An important question to ask yourself: How we as Tanzanian are learning [how] to exploit the spirit of olympics! Those Medals, gold, silver and bronze; why we as a nation are not exploiting such opportunity; we are watching games which do not involve us. We cannot even run, weight lift, swim etc etc!