Kapo Jr
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 996
- 280
Takribani miezi minne hapa RUNGWE wananchi wananchi hapa wilayani wanalumbana ongezeko la ankara za maji %125 kwa mwezi,(TUWASA) walipotoa proposal wananchi tulikataa kwani hatutumii dizel au petrol kusukuma maji yametegwa mabomba kwenye chanzo twashangaa DC Msome anavyotutisha wananchi tunavyofanya mikutano kuhusu kesi inavyokwenda anatuma polisi kuwakamata viongozi wa umoja wetu,wananchi hawako tayari kuburuzwa wako mbioni kumburuza kortini wapi tuendako