Yawezekana aisee.
Black hole mh! Kubwa ya kuweza kumeza Galaxy yetu hii mara 10,000? Sidhani!
Yawezekana lakini. Au kuna kitu hapo ambacho akina Hubble na James Webb bado hawawezi kukiona. Maajabu ya uumbaji!
Na wewe mjukuu ni mdau wa haya mambo eeh!? Safi sana! π