Vituko mitandaoni. Tupia chako

Msanii maarufu hapa Tanzania VANILLAH ambaye ni msanii wake na alikiba kutoka KING MUSIC amewaacha hoi wasanii wake pamoja na mashabiki zake uko kwenye mitandao yake ya kijamii hasa instagram #VanillahMusic baada ya kupost picha ambayo inaonesha akiwa amevaa nguo za mwanamke za kwenye harusi (Shela)


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ofishale mwamba kaleft group au ni kiki tu za kisanii? 😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…