Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kama unaona ni shida kaanzishe mwingine ambao utazuia mambo ya kichawi yasiingilie meme za kufurahisha.asante
 
Na wewe ni mchawi?

Kubalini kushauriwa jamani. Na siyo kila kitu ni ugomvi wala kupaniki.

Mnaharibu uzi!

Ila kama mnaona ni sawa kurundika picha za uchawi kwenye uzi wa furaha kama huu basi ni sawa.

Ni uzi wenu endeleeni!
Sijapanik brother labda wewe ,kuna wengine hawaelewi kama ni uchawi mpaka waambiwe .kwa upande wangu sijaona shida kuweka wazi mambo yalivyo ili nisiendelee kuwa gizani.yawezekana wewe unayajua mambo hayo yalivyo ndio maana hutaki na sisi tusiojua tuyajue😫.kwa upande mwingine nlishakutana na vitu na vingine nlishaviona kwenye uzi huu .acha Mambo yawekwe hadharani bro.
 
Mshana Jr tuachie uzi wetu. Kaanzishe uzi kamili wa mambo ya uchawi huko na hizo quotes zako za motivations...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…