Saikolojia ya Mwanamke;
1. Mwanamke akisema "Tuachane kwa muda"
Anamaanisha "Nataka kulala na mwanaume mwingine kwa sasa"
2. Mwanamke akisema "Wanawake na wanaume wanatakiwa kuwa sawa"
Anamaanisha "Mwanaume anatakiwa kuwa kichwa"
3. Mwanamke akisema "Nataka mtu wa kunipenda na kunijali"
Anamaanisha "Nataka mtu anayeweza kunihudumia"
4.Mwanamke akisema "Nakupenda"
Anamaanisha "Naamini utanipa kila ninachokitaka"
5. Mwanamke akisema "Yule ni rafiki yangu tu"
Anamaanisha "Nitalala naye muda wowote ukinikera"
Sent using
Jamii Forums mobile app