Vituko mitandaoni. Tupia chako

Akifa mmoja si ataoza. Sasa huyo mwingine atafanya nini? Hapo ukute baadhi ya mifumo yao inaingiliana. Na kwa kawaida mmoja akiumwa na mwingine anaumwa. Nitagoogle nione kama kwenye medical history kuna case ambapo mmoja alikufa na mwingine akabakia hai (kwa muda mrefu)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…