ANGEL BENARD AIKIMBIA NDOA YAKE KISHA KWENDA KUOLEWA MAREKANI.
Mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini. Angle Benard ameachana na mume wake Godsave Sakafu kisha kwenda kuolewa na mwanaume mwingine nchini Marekani, mtu wake wa karibu amethibitisha. Zilisambaa picha kupitia mtandao wa Twitter ambao zilikuwa zinamuonyesha Angle akiwa anafunga ndoa na mwanaume mwingine huko Marekani, picha hizo ziliwashtua watu wengi kwani hawakuwahi kusikia kama ndoa ya Angle ilikuwa imevunjika.
Ndoa ya wawili hao ilikuwa inaonekana ni yenye mapenzi ya kweli kiasi kwamba kila mwanamke alitamani kupata mume wa aina ile, ambae alikuwa anamuonyesha mahaba mke wake mbele ya camera.
Miongoni mwa nyimbo kali ambazo zimuinua Angle ni pamoja na Siteketei na Nikumbushe.
View attachment 2693492
Sent using
Jamii Forums mobile app