Vituko mitandaoni. Tupia chako

ANGEL BENARD AIKIMBIA NDOA YAKE KISHA KWENDA KUOLEWA MAREKANI.

Mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini. Angle Benard ameachana na mume wake Godsave Sakafu kisha kwenda kuolewa na mwanaume mwingine nchini Marekani, mtu wake wa karibu amethibitisha. Zilisambaa picha kupitia mtandao wa Twitter ambao zilikuwa zinamuonyesha Angle akiwa anafunga ndoa na mwanaume mwingine huko Marekani, picha hizo ziliwashtua watu wengi kwani hawakuwahi kusikia kama ndoa ya Angle ilikuwa imevunjika.

Ndoa ya wawili hao ilikuwa inaonekana ni yenye mapenzi ya kweli kiasi kwamba kila mwanamke alitamani kupata mume wa aina ile, ambae alikuwa anamuonyesha mahaba mke wake mbele ya camera.

Miongoni mwa nyimbo kali ambazo zimuinua Angle ni pamoja na Siteketei na Nikumbushe.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba unitajie mwimbaji maarufu wa Injili wa kike mwenye ndoa. Nipo nimekaa paleee! 😬
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…