Vituko mitandaoni. Tupia chako

Umaarufu unatafutwa kwa hali na mali.


View attachment 2692875

Najua wako wengi wanaosubiri ainame kujisugua miguu na unyayo wake...
Walau hata angepanua miguu kusugua katikati ya mapaja...

Halafu anatakiwa pia ajisugue kati ya ma.ta.ko na chini yake panakuwaga na joto kali usipopaosha vizuri panasababisha hali ya hewa mbaya.

Halafu kujisugua na chu.pi sio, shurtu utumie mikono yako au brashi maalum ya kuogea.

Akili inaniambia hapo kama si mkoani basi ni Kenya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…